RSS Feed

FETTY AND FRIENDS

FURAHIA MIZIKI YETU


Myspace music player

Tuesday, January 17, 2012

SWALI KUTOKA KWA P FUNK MAJANI

Nimepita pita kwenye mtandao wa jamii na kukutana na swali hili kutoka wall post ya mzee wa bongo records.
 
P-Funk Majani:  kwanini Wasanii waki bongo wanategemea sana Ushirikina iliwafanikiwe?

8 comments:

rids said...

Kwa Upande wangu mi naona hawajiamini pia utakuta wamevaa mipete ya rangi za ajabu vidoleni au shanga shingoni.

Anonymous said...

Kwa hili mi nasema co kwa wasanii tu but for ever ppo in tz we trust hiyo cng na co wasanii pekee

Anonymous said...

atuambie yeye ni kwanini? yeye si ndo producer wao

Anonymous said...

Duuuuuuuuuuh iyo ni upungufu wa utashi coz ata kwenye vitabu vya dini wana2kataza izo mambo

Anonymous said...

Kuna ule usemi wa "kujuana kwa vilemba". Sasa yeye P alihakikishakikishaje kuwa wasanii ni washirikina?

Anonymous said...

ndo maan hawakai sana m2 anatoa nyimbo nzuri leo lakin baada ya ck 2 anachujaaa!

Anonymous said...

hawaamini katika kufanya kazi kwa bidii

Anonymous said...

hilo swali aanze kumuuliza juma nature ambaye hana jipya kwenye hii gemu ila kwenye show akipanda tunachanganyikiwa

Post a Comment

JIUNGE NAMI KWENYE UPANDE WA EMAIL AU SIO