Ikiwa imepita mda sasa tangu alipogusia swala la kujenga msikiti, ambao utakuwa kumbukumbu yake kwa watakaoutumia, na ikiwa ni njia moja wapo ya kurudisha katika jamii, Diamond amesema msimamo wake bado uko palepale
"sasa hivi mimi nina maeneo yangu, kwasababu ninapikuwa na hela mi nakuwa muoga sana kuwekeza najitahidi sana kununua nunua viwanja au kama hivi vijumba vidogo vidogo vya kuvunja maeneo tofauti tofauti, sasa hivi niko plani kwamba niujengee sehem gani, nitengeneze msikiti sehem ambayo itakua ni nzuri, msikiti ambao hata kesho na kesho kutwa mi nikifa, mababu vizazi na vizazi viwe wanaswali pale kama msikiti ambao aliutengeneza kijana wetu Diamond, na watu wanaswalia, mi naamini itanipa baraka kubwa sana, na soon too naimani mwenyezi mungu naimani atanisaidia, nitangeneza huo msikiti" amesema Diamond

4 comments:
dah for this nakuunga mkono aisee wala sikulifikilia ka utalifanya..mwenyezi mungu akubali lengo lako litimie inshallah
big up bro fanya hima ss coz uhai ni sunnah
Wengine wangefata mfano wako big up
Wengine wangefata mfano wako big up
Post a Comment