produced by Pancho Latino na Hammy B kutoka B Hits, ni single mpya kutoka kwa Rapper mdogo Tanzania M Rap feat Deddy. isikilize hapo chini
Popular Posts
-
"mimi jana nilienda maisha mida flani kama ya saa tisa hivi sawa, nikamuona yule Nikki mbishi, halafu nikaona aaah sijawahi kump...
-
Leo hii kupitia mtandao wa Instagram, Pttiman alitupia picha akiwa baba yake mzazi, mzee Sepetu, huku pembeni akiwepo mtu wake wa karibu ...
-
Leo hii kupitia Clouds Fm, Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo kutoka kituo hicho, ameongelea na kuamua kutoa ufafanuzi kuhusu mashambuliz...
-
Ikiwa ni mda mchache tu baada ya kupost picha zake zenye kuonyesha wazi sehem za tumbo na kifua kupitia Instagram, picha ya wema imeone...
-
Clip iliyosambaa inayomuhusisha Wema Diamond na Penny imefika ndani ya blog yako, clip ambayo inaonekana kurecodiwa kwa maksudi na Dia...
Blog Archive
-
►
2012
(1627)
- December (172)
- November (219)
- October (243)
- September (184)
- August (125)
- July (105)
- June (100)
- May (105)
- April (123)
- March (151)
- February (74)
- January (26)
-
►
2011
(520)
- December (53)
- November (52)
- October (60)
- September (66)
- August (88)
- July (15)
- June (16)
- May (30)
- April (31)
- March (48)
- February (27)
- January (34)
-
►
2010
(429)
- December (26)
- November (29)
- October (18)
- September (26)
- August (49)
- July (26)
- June (53)
- May (53)
- April (44)
- March (46)
- February (31)
- January (28)
| Home | My Biography | Contact Me |
Tuesday, May 21, 2013
UNRELEASED SONG: STEVE 2K FEAT. CREIZY BUFFER+ SPIDER+SOLOMON LAMBA / WAMENUNA
( EMPTYSOULZ RECORDS ) PROD. SOLOMON LAMBA wameachia single ya Marehem Steve 2k ambayo ilikua haijawahi kutoka. isikilize hapo chini.
IZZO B KUFANYA SHOW NDANI YA MBEYA
Siku ya tarehe 31 ndani ya Mbeya City alikotoka Rapper Izzo b patawaka moto, moto utawaka ndani ya Club Vibe, ikiwa ni mara yake ya kwanza kufanya show yake yeye kama yeye, kwa kiingilio cha buku 7 tu huku akisindikizwa na wasanii wa pale pale Mbeya na Rapper kutoka Morogoro Stamina.watu wa Mbeya hii ni time yenu kumpa sapoti mtu wenu anaeikubaili Mbeya
UTATA WA TOUR YA JAY Z
Bado wataalam wa mambo wanaendelea
kutofautiana kuhusu ratiba ya Tour ya Jay – z iliyotolewa na Billboard
hivi karibuni katika ratiba hiyo imeandikwa Jay z atatua katika miji 7
ya Africa ikiwemo jiji la Dar es salaam Oktoba 4 mwaka huu pale Diamond
Jubilee. Ratiba hiyo inatia shaka kwa sababu Jay z aliperform tarehe na
mwezi kama huo Dar es salaam mwaka 2006 na katika website ya Jay za
ametoa ratiba ya Tour zake laini ameishia kuandika mwezi Septemba
hajaandika mpaka Oktoba kama walivyoandika Billboard.
USIKU WA HIP HOP NA FAINALI ZA VODACOM MIC KING KUFANYIKA MEI 25
Uongozi wa kampuni ya Dar Live Co.Ltd
unatarajia kufanya tamasha kubwa la kila mwaka la usiku wa Hip
Hop,Jumamosi hii, Mei 25,2013 katika ukumbi wa burudani Dar
Live,uliyopo Mbagala Zakhem au kwa jina lingine Mbagala Rangi Tatu.Usiku
wa Hip Hop mwaka huu utafanyika pamoja na fainali za kumtafuta mkali wa
Mic,fainali ambazo zimeandaliwa kwa pamoja na kampuni ya simu za mkono
ya Vodacom.Fainali hizi zinajulikana kwa jina la THE VODACOM MIC KING,
na mshindi ataondoka na gari la kisasa aina ya TOYOTA FUNCARGO,(New
Model) lenye thamani ya shilingi milioni 15
Stamina na John Dilinga
John Dilinga
Hawa ndiyo washiriki watakaochuana Mei 25, mshindi ataondoka na zawadi ya gari lenye thamani ya shilingi milioni 15
Stamina na John Dilinga
John Dilinga
Hawa ndiyo washiriki watakaochuana Mei 25, mshindi ataondoka na zawadi ya gari lenye thamani ya shilingi milioni 15
NU VIDEO: ZAGA ZAGA BY WITNESZ FEAT OCHU SHEGGY
nakumbuka miezi kadhaa iliyopita Witnesz alithibitisha kuachana na mume wake wa ndoa, Mokey bila kutoa sababu hasa ni nini, baada ya kuandika haya
”Hi,I want to tell every one kwamba am no longer married to Mokeys.I wanted you to know from me and please don’t asky why.Much Love”.
lakini nikiitizama na kuisikiliza video hii, inaonekana ni kama mwadada ameamua kuonyesha feelings zote za kuachana na jamaa huyo ndani ya wimbo huu, huku akisifia microphone na kuisifia kuwa iko nae muda wote anaotaka sio kama wale wasaliti zaga zaga,microphone inampa heshima na haimshushii heshima kama hao wengine
hayo maneno yayonifanya kufikiria kuwa anazungumzia mahusiano yake, au we unaonaje, anazungumzia mahusiano yake au la?
PROFESSA JAY ACHUKUA KADI YA CHADEMA UENDA 2015 AKAGOMBEA UBUNGE
Msanii mkongwe nchini maarufu Joseph Haule a.k.a Professa Jay amejiunga rasmi katika chama cha Demokrasia na maendeleo'CHADEMA'
'Mmeniuliza sana kwamba mimi ni CHAMA gani jibu litapatikana Muda sio mrefu!! Still in Dodoma STAY TUNED'
Professa Jay amekabidhiwa kadi hiyo na mbunge wa Mbeya mjini 'Joseph Mbilinyi' a.k.a Sugu.kujiunga kwa msanii huyo katika chama hicho kuna uwezekano akagombea ubunge 2015.!!!!!!!
Huu ndiyo ujumbe wa Professa Jay baada ya kupokea maswali mengi kutoka kwa mashabiki wake katika mtandao wa twitter.
'Mmeniuliza sana kwamba mimi ni CHAMA gani jibu litapatikana Muda sio mrefu!! Still in Dodoma STAY TUNED'
AUDIO "THE RETURN OF THE TRANSFORM MASTER MIXX VOL"
Non stop hiyo inaitwa THE RETURN OF THE TRANSFORM MASTER MIXX VOL 1 kutoka kwa Dvj D Ommy leo ameamua kutoa zawadi hii ya Mix Vol 1 kwa hiyo kama wewe ni shabiki wake basi nakupa nafasi ya kusikiliza hapa mixing zake kali za hatari.
Monday, May 20, 2013
WASANII WAKIKE WAJITOLEA KUTENGENEZA WIMBO UNAOHUSU FISTULA
wasanii wa kike nchini, wamejitolea kutengeneza wimbo unaowahamasisha wakinamama kujitoa na kuona kama fistula ni ungonjwa ambao upo na una tibika, na kuwahamasisha wakina mama kutokuona aibu na kubaki nao nyumbani. wimbo huo umewashirikisha wasanii kama Mwasiti, Recho, Lina, Vanessa Mdee, Feza Kessy,Keisha, The Trio, Dayna, Maunda Zorro, Pipi, Queen Darlin, Vida, Zuhura, Meninnah, Vumilia,Baby J, Sundy Gaga.usikilize hapa chini.
AFANDE SELE ASUSA KULA SIKU MBILI BAADA YA SIMBA KUFUNGWA
Jumamosi (May 18) kulikuwa na mpambano wa
watani wajadi Simba na Yanga na timu ya Simba iliupoteza mchezo huo kwa
kufungwa magoli 2 kwa bila na Yanga.
King Selemani ama Afande Sele kutoka mji kasoro bahari Morogoro ni moja ya watu wanaonekana kuwa ‘addicted’ na ushabiki wa soka kiasi cha kushindwa kuvumilia maumivu ya kufungwa kwa timu anayoishabikia, Simba kitendo kilichompelekea asuse kula toka Jumamosi.
Akizungumza na Suddy Brown katika U Heard kupitia XXL ya Clouds FM, mke wa rapper huyo mkongwe Mama Tunda, amethibitisha kuwa mumewe amegoma kula toka siku ya mechi.pole sana Afande Sele...!!!!!
King Selemani ama Afande Sele kutoka mji kasoro bahari Morogoro ni moja ya watu wanaonekana kuwa ‘addicted’ na ushabiki wa soka kiasi cha kushindwa kuvumilia maumivu ya kufungwa kwa timu anayoishabikia, Simba kitendo kilichompelekea asuse kula toka Jumamosi.
Akizungumza na Suddy Brown katika U Heard kupitia XXL ya Clouds FM, mke wa rapper huyo mkongwe Mama Tunda, amethibitisha kuwa mumewe amegoma kula toka siku ya mechi.pole sana Afande Sele...!!!!!
NGASSA:NDIYO NIMESAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI YANGA
Ngassa amezungumza kwa mara ya kwanza na kuthibitisha kwamba kweli amesaini Yanga.
“Ni kweli nimesaini Yanga, nisingeweza kuzungumzia suala hilo wakati nina mkataba ambao ulikuwa haujamalizika.
“Lakini baada ya mechi ya mwisho ya ligi, sasa niko huru kuanza kuutumikia mkataba wangu mpya,” alisema.
Mashabiki wa Yanga walimchukua Ngassa na kumvisha jezi ya njano na
kijani, mara tu baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Yanga na Simba
kwenye Uwanja wa Taifa, jana.
Mashabiki hao walimvisha jezi hiyo na kumbeba na kumbeba na kuondoka naye hadi nje ya uwanja.
Azam FC ilimpeleka Simba kwa mkopo, lakini Simba imekuwa ikisema
ilimuongezea mkataba wa mwaka mmoja na kumlipa Sh milioni 30 pamoja na
gari.
Kama unahitaji picha ambazo alikuwa akisani mkataba huo mpya wa Yanga ingia hapa www.facebook.com/edwintanzania
JOKATE MWEGELO AIPELEKA KIDOTI TIME MKOANI KWAKE
Mrembo na mjasirimali hapa nchini
Jokate Mwengelo weekend hii amekuwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya
UMISSETA 2013 ngazi ya wilaya katika halmashauri ya Songea mkoani Ruvuma.
Jokate alikuwa kama mgeni rasmi kupitia kampeni yake Kidoti Time yenye lengo kusaidia na kuibua vipaji mbalimbali vya wanafunzi mkoani, akizungumza na mtandano alisema"
Jokate alikuwa kama mgeni rasmi kupitia kampeni yake Kidoti Time yenye lengo kusaidia na kuibua vipaji mbalimbali vya wanafunzi mkoani, akizungumza na mtandano alisema"
Kidoti Time ni program ambayo itakuwa ikifanyika
mashuleni kuanzia term(muhula) ujao katika masomo lengo ni kuvumbua vipaji mbalimbali vya wanafunzi kama
Uchoraji,uimbaji,ubunifu,kuingiza na vipaji vingine...!!!!!
PICHA:USIKU WA KUMTOA MAMA YEYOO NA NJE BOX NDANI YA MAISHA CLUB
Weusi jana walipiga show iliyopewa jina la "Usiku wa kumtoa mama Yeyoo Nje Box" kwenye ukumbi wa New maisha club jijini Dar es Salaam,G nako,Nikki wa pili,Joh Makini,Lord Eyez,Peter Msechu, Ben pol walikuwa ni miongoni mwa waliotoa burudani..
Saturday, May 18, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)
Blog Archive
-
►
2012
(1627)
- December (172)
- November (219)
- October (243)
- September (184)
- August (125)
- July (105)
- June (100)
- May (105)
- April (123)
- March (151)
- February (74)
- January (26)
-
►
2011
(520)
- December (53)
- November (52)
- October (60)
- September (66)
- August (88)
- July (15)
- June (16)
- May (30)
- April (31)
- March (48)
- February (27)
- January (34)
-
►
2010
(429)
- December (26)
- November (29)
- October (18)
- September (26)
- August (49)
- July (26)
- June (53)
- May (53)
- April (44)
- March (46)
- February (31)
- January (28)






















